Serikali kuangalia upya aina ya Uwekezaji nchini

Waziri Mkuu wa Jamahri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Kayanza Peter Pinda

Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema wakati Tanzania inajiandaa kutekeleza awamu ya pili ya mpango wa maendeleo wa miaka mitano (2016 -2020) ambao unalenga kukuza viwanda nchini, haina budi kuangalia ni aina gani ya uwekezaji unafaa kuchukuliwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS