Kivumbi cha ligi kuu bara kesho kwa vilabu 16

Kivumbi cha ligi kuu ya soka Tanzania Bara 2015/2016 kinatarajiwa kuanza hapo kesho kwa mechi saba kupigwa katika viwanja saba hapa nchini huku mchezo mmoja ukipigwa Jumapili uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS