Mgombea Urais wa kupitia CCM John Pombe Magufuli na Mgombea Urais kupita UKAWA Mh. Edward Lowassa
Kampeni za kuwania Urais kupita vyama mbalimbali nchini zimeendelea jana huku wapinzani wawili wakubwa wakinyanganyiro hicho wakiendelea na mikutano yao katika mikoa tofauti