THRDC na LHRC wapinga Cyber Crime Mahakamani

Mkurugenzi wa mtandao wa watetezi wa haki za binadam (THRDC) Onesmo Olengurumwa.

Mtandao wa watetezi wa haki za binaadamu THRDC pamoja na kituo cha haki za binaadamu LHRC wameamua kufungua kesi kupitia wakili Jebra Kambole kupinga baadhi ya vipengele kwenye sheria ya makosa ya mtandao mpaka pale vitakapofanyiwa marekebisho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS