Ekari 7000 kugawiwa kwa wananchi Arusha
Serikali imetwaa Ekari 7000 baada ya ubatilishwaji wa Mashamba ya Tanzania Plantation Limited yaliyokuwa yakimilikiwa na mwekezaji kutoka nje, mashamba hayo yanatajiwa kugawanywa kwa wananchi 2000 wenye uhitaji wa ardhi ya makazi na mashamba.

