Ekari 7000 kugawiwa kwa wananchi Arusha

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. William Lukuvi

Serikali imetwaa Ekari 7000 baada ya ubatilishwaji wa Mashamba ya Tanzania Plantation Limited yaliyokuwa yakimilikiwa na mwekezaji kutoka nje, mashamba hayo yanatajiwa kugawanywa kwa wananchi 2000 wenye uhitaji wa ardhi ya makazi na mashamba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS