Serikali kupunguza idadi ya mizani barabarani

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa, akizungumza na wanahabari.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa, amesema serikali ina mpango wa kupunguza vizuizi vya barabarani ambavyo vinawekwa kiholela, na kuchangia kuzorotesha maendeleo ya ukuaji wa chumi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS