Kapombe, Tshabalala, watakiwa kutunza nafasi zao

Wachezaji Mohammed Hussein 'Tshabalala' wa Klabu ya Sima, Haji Mwinyi wa Yanga na Shomari Kapombe wa Azam Fc wametakiwa kuzitumia vizuri nafasi walizonazo katika vilabu vyao ili kuweza kufika mbali zaidi kisoka.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS