Waziri mkuu awaonya watumishi wa serikali WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewaonya watendaji wa halmashauri nchini kwamba atakayebainika ametumia vibaya fedha za Serikali atang'olewa kazini kwa sababu Serikali ya Awamu ya Tano haina mchezo na mtu. Read more about Waziri mkuu awaonya watumishi wa serikali