Siku ya walemavu yahitimishwa kwa michezo Dar.
Michezo kwa watu wenye ulemavu imefanyika hii leo jijini Dar es Salaam, kwa kuhusisha michezo ya mpira wa kikapu,mpira wa wavu,soka na Badminton,ikiwa ni kuhitimishwa kwa sherehe za siku ya watu wenye ulemavu iliyofanyika kitaifa Desemba 3 mwaka huu.