Zana za Uvuvi haramu zateketezwa mkoani Kagera Mkuu wa Mkoa wa Kagera John Mongella Idara ya Uvuvi Mkoani Kagera imekamata na kuziteketeza zana za uvuvi haramu zenye thamani ya zaidi ya milioni 641 kutoka kwa wavuvi na wamiliki wa vifaa hivyo mkoani humo. Read more about Zana za Uvuvi haramu zateketezwa mkoani Kagera