Ni wakati wa watumishi kuwajibika: Simbachawene

Waziri wa nchi ofisi ya Rais Tamisemi,Utumishi na Utawala bora George Simbachawene.

Waziri wa nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Utumishi na Utawala bora George Simbachawene amewataka watendaji wa wizara hiyo kufanya kazi kwa kufuata maadili na kuacha kufanya kwa mazoea ili kuharakisha maendeleo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS