Mifuko ya Plastiki marufuku mkoani Geita

Mkuu wa wilaya ya Chato,Shaaban Ntarambe

Serikali wilayani Chato mkoani Geita imepiga marufuku usambazaji na uuzwaji wa mifuko ya plastiki huku wafanyabiashara wenye maduka wakiamriwa kuiteketeza kwa moto kabla zoezi la kuwakamata na kuwafikisha mahakamani halijaanza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS