Mifuko ya Plastiki marufuku mkoani Geita
Serikali wilayani Chato mkoani Geita imepiga marufuku usambazaji na uuzwaji wa mifuko ya plastiki huku wafanyabiashara wenye maduka wakiamriwa kuiteketeza kwa moto kabla zoezi la kuwakamata na kuwafikisha mahakamani halijaanza.