Serikali idhibiti dawa za Kulevya-Kibona

Eluka Kibona, Meneja Utetezi na Ushawishi Oxfam

Muungano wa mashirika ya kuinua vipaji vya vijana nchini yanayofadhiliwa na shirika la kimataifa la Oxfam Program ya Tanzania wameiomba serikali kuhakikisha inadhibiti uingizaji na matumizi ya dawa za kulevya nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS