Dkt. Magufuli asamehe wafungwa zaidi ya elfu mbili

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametoa msamaha kwa wafungwa zaidi ya elfu mbili huku wafungwa 117 wakitarajiwa kuachiwa huru ikiwa ni sehemu ya kadhimisha sherehe za Desemba 9.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS