Nanyamba yadaiwa zaidi ya milioni miambili
Halmashauri ya mji wa Nanyamba mkoani Mtwara inakabiliwa na deni la zaidi ya sh. Milioni 242.5 kutokana na kupokea watumishi na wakuu wa idara wapya toka ilipopata hadhi ya halmashauri mwezi Julai mwaka huu.