Sijawahi kusamehe kodi makontena-Dkt.Jakaya

Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakifanya usafi katika soko kuu la Chalinze Desemba 9, 2015

Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Kikwete jana ameungana na wakazi wa mji wa Chalinze kufanya usafi huku akiwataka watanzania wamuunge mkono Rais Dkt. Magufuli kupambana na wafanyabiashara na watu wengine wanaokwepa kulipa kodi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS