Sijawahi kusamehe kodi makontena-Dkt.Jakaya
Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Kikwete jana ameungana na wakazi wa mji wa Chalinze kufanya usafi huku akiwataka watanzania wamuunge mkono Rais Dkt. Magufuli kupambana na wafanyabiashara na watu wengine wanaokwepa kulipa kodi.