Mtibwa Sugar kuishukia Mbeya city Jumamosi hii.
Klabu ya mtibwa sukari imeondoka mapema asubuhi leo mkoani Morogoro ikielekea jijini Mbeya kwa ajili ya mtanange wao dhidi ya wagonga nyundo wa jiji hilo klabu ya Mbeya City utakaopigwa Jumamosi hii ikiwa ni muendelezo wa ligi kuu Tanzania bara