Mkakati wa Usafi kuhamia kwenye Daladala Dar
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Mecky Sadick amesema wanaandaa utaratibu na wadau husika wa usafiri wa Daladala jijini Dar es Salaam, kupulizia dawa za kuuwa wadudu kwenye daladala pamoja na kuhakikisha kila daladala inakuwa na kitunzia uchafu.