Makamu wa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania The.Samia Suluhu Hassan akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam walipofanya zoezi la Usafi
Makamu wa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema serikali ya awamu ya tano imedhamiria kuboresha upatikanaji wa huduma muhimu za afya na elimu kwa haraka.