Mkururugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA),Felix Ngamlagosi akisisitiza jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habar
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji(EWURA),imepunguza bei ya mafuta ambayo itaanza kutumika rasmi kuanzia leo.