Afrika yakabiliwa na uhifadhi wa miyonzi
Nchi za Afrika ikiwemo Tanzania zinakabiliwa na changamoto kubwa ya uwezo mdogo wa kubaini na kuhifadhi mabaki ya mionzi inayoweza kuleta athari kwa binadamu na viumbe wengine, tatizo linalochangiwa na ukosefu wa vifaa vya kisasa na teknolojia.