Afrika yakabiliwa na uhifadhi wa miyonzi

Mkurugenzi wa idara ya mionzi kutoka tume ya taifa ya nguvu za atomic nchini Dkt. Mwizaruba Nyaruba.

Nchi za Afrika ikiwemo Tanzania zinakabiliwa na changamoto kubwa ya uwezo mdogo wa kubaini na kuhifadhi mabaki ya mionzi inayoweza kuleta athari kwa binadamu na viumbe wengine, tatizo linalochangiwa na ukosefu wa vifaa vya kisasa na teknolojia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS