Wachache wajitokeza Uchaguzi jimbo la Arusha Mjini

Msimamizi wa Uchaguzi kata ya Themi, Esther Kashangaki

Uchaguzi mkuu wa ubunge katika jimbo la Arusha mjini umefanyika kwa amani, huku idadi ya wapiga kura waliojitekeza ikiwa ndogo kulinganishwa na chaguzi zilizopita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS