Vijana 30 wapatiwa mafunzo uwekezaji Gesi asilia

Baadhi ya mitambo katika Kituo cha Kupokelea Gesi Asilia kutoka Songosongo na Mtwara kilichopo Somangafungu wilayani Kilwa Mkoani Lindi

Zaidi ya vijana 30 kutoka katika vyuo mbalimbali mkoani Mtwara wamepatiwa elimu juu ya masuala ya uwekezaji katika rasilimali za Mafuta na Gesi asilia, katika semina ya siku moja iliyoandaliwa na shirika lisilo la kiserikali la MRENGO.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS