Vijana 30 wapatiwa mafunzo uwekezaji Gesi asilia
Zaidi ya vijana 30 kutoka katika vyuo mbalimbali mkoani Mtwara wamepatiwa elimu juu ya masuala ya uwekezaji katika rasilimali za Mafuta na Gesi asilia, katika semina ya siku moja iliyoandaliwa na shirika lisilo la kiserikali la MRENGO.