Mmoja auawa, wanne wajeruhiwa kwenye mapigano Moro Mtu mmoja ameuawa na wengine wanne wakiwemo askari Polisi wawili kujeruhiwa baada ya kutokea mapigano ya wakulima na wafugaji katika kijiji cha Dihinda wilayani Mvomero mkoani Morogoro. Read more about Mmoja auawa, wanne wajeruhiwa kwenye mapigano Moro