Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi (Mb), akisisitiza jambo, wakati alipokuwa anatoa maelekezo.
Serikali imeanza kurejesha ardhi kubwa ambayo baadhi ya watu waliimiliki kwa muda mrefu bila kuiendeleza huku wananchi wengi wakikosa ardhi kwa ajili ya kufanyia maendeleo.