Waandishi watakiwa kuzingatia maadili ya uandishi

Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Wanawake katika Sheria na Maendeleo barani Afrika, Bi. Anna Kulaya,

Waandishi wa habari nchini Tanzania wamekumbushwa kuzingatia maadili pale wanapoandika habari zinazohusiana na vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa kuwa nyingine zimekuwa na athari kwa jamii pamoja na familia husika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS