Muswada wa maafa EALA kujadiliwa Machi

Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya nje,Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Kikanda na Kimataifa Mhe. Suzana Kolimba

Bunge la Afrika la Mashariki EALA,limeahirisha kujadili Muswada wa sheria ya kukabiliana na maafa na majanga wa mwaka 2013 hadi mwezi Machi mwaka huu baada ya kuzuka kwa mjadala mkali uliowagawa wabunge.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS