Kuhama hama chanzo cha usambaaji wa UKIMWI, Njombe
Katibu tawala wa mkoa wa Njombe, Gidion Mwinami
Imedaiwa kuwa chanzo kipya cha usambaaji wa UKIMWI mkoani Njombe ni kuwapo kwa makundi maalum yanayo hamahama na kuibuka kipindi cha mavuno ya viazi, na mbao kila mara katika sehemu za starehe.