Bunge laongeza kamati mbili mpya, vikao Jan 21 Vikao vya kamati za Bunge la 11 vinataraji kuanza Januari 21 mwaka huu, huku ofisi ya Bunge ikiongeza kamati mbili na kuzifanyia marekebisho kamati nyingine. Read more about Bunge laongeza kamati mbili mpya, vikao Jan 21