Q Chief ajiweka pembeni na uongozi wa Bendi

Msanii Q Chief ambaye sasa yupo chini ya Bendi mpya ya Q S Mhonda, ameeleza kuwa licha ya uzoefu wake katika muziki kwa miaka, amejiweka pembeni na jukumu la kuongoza bendi hiyo mpya kutokana na lawama nyingi ambazo huambatana na nafasi hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS