Q Chief ajiweka pembeni na uongozi wa Bendi
Msanii Q Chief ambaye sasa yupo chini ya Bendi mpya ya Q S Mhonda, ameeleza kuwa licha ya uzoefu wake katika muziki kwa miaka, amejiweka pembeni na jukumu la kuongoza bendi hiyo mpya kutokana na lawama nyingi ambazo huambatana na nafasi hiyo.

