Serikali kuwapa watoto wa kike chanjo ya HPV

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu (aliyesimama) akizungumza na wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa iliyokuwa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii

Tanzania imesema wakati wowote kuanzia sasa itaanza kuwapatia watoto wa kike wenye umri wa kuanzia miaka 13 chanjo dhidi ya virusi vya Human Papiloma, HPV vinavyosababisha saratani ya shingo ya kizazi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS