Hatukati tamaa mpaka mwisho wa msimu – Mbonde
Mlinzi wa kati na nahodha msaidizi wa timu ya Mtibwa Sugar, Salim Mbonde amesema hawatishiki na pengo la pointi kumi lilipo kati yao na Yanga katika msimamo wa ligi zaidi ya kuweka nia katika mbio za ubingwa hadi mwisho wa msimu ili kujua hatma yao.

