Mkurugenzi Mtendaji Msaidizi kutoka Taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya kuwasaidia wanawake wajasiriamalia wanaofanya biashaara mipakani (TWCC),Bi. Mwajuma Hamza
Wanawake wajasiriamali wa kitanzania wanaofanya biashara katika maeneo ya mipakani wameiomba serikali kufungua fursa za kibiashara katika nchi hizo , ili kukabiliana na ushindani uliopo wa kibiashara.