Kiganja aanza kazi kwa kishindo BMT
Kaimu Katibu Mkuu mpya wa Baraza la Michezo Tanzania BMT Mohamed Kiganja, ametoa maagizo kwa maafisa wa Baraza hilo kusimamia sheria zilizounda chombo hicho ili kutekeleza sera zilizowekwa na serikali, juu ya michezo.

