Wenger awataka wachezaji wake kumnyamazisha Suarez

Kocha wa Arsenal mfaransa Arsene(pichani) Wenger akizungumza na waandishi wa habari.

Kocha mkuu wa klabu ya Arsenal Mfaransa Asern Wenger amesema vijana wake wanapaswa kuhakikisha wanamnyamazisha Luis Suarez kama wanataka kuwafunga mabingwa watetezi wa michuano ya klabu bingwa barani Ulaya FC Barcelona hapo kesho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS