Mhariri magazeti ya serikali asimamishwa kazi Bodi ya wakurugenzi ya magazeti ya Serikali,(TSN) imemsimashisha kazi Mhariri Mtendaji wa magazeti hayo Bw Gabrieli Nderumaki kupisha uchunguzi kutokana na utendaji usioridhisha ndani ya kampuni. Read more about Mhariri magazeti ya serikali asimamishwa kazi