Samatta awavuruga Wamisri
Timu ya taifa ya Misri kesho inatarajia kuumana na Taifa Stars katika mchezo wa kuwania kufuzu kushiriki michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon), lakini taarifa za ubora wa nahodha wa Stars, Mbwana Samatta zimekuwa zikikivuruga kikosi hicho.