Mgambo kuwaonea Machinga haikubaliki-Simbachawene

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. George Simbachawene.

Serikali imesema itabidi kuzipitia upya sheria za utozaji ushuru ili kudhibiti wimbi la wafanyabiashara wadogo maarufu kama machinga ikiwa ni pamoja na kudhibiti wanamgambo wanaowanyanya kwa kuzitaifa mali zao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS