Mmoja kati ya Wabunge waliohudhuria semina ya Taasisi ya Kupambana na Kuzuia na Rushwa, Mbunge wa Nkasi (CCM), Ally Kessy.
Baadhi ya Wabunge la Tanzania, wameonyesha wasiwasi juu ya watendaji wa Mahakama na makampuni ya uwakili dhidi ya kesi za mafisadi nchini na kusema hao ndio sababu ya serikali kushindwa kesi nyingi.