Serikali iunde tume ya mikataba uwekezaji wa gesi

Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Maendeleo ya Petroli(TPDC), Dkt. James Mataragio

Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Maendeleo ya Petroli(TPDC), Dkt. James Mataragio, amemuomba waziri wa nishati na Madini, kuunda tume itakayoshughulikia mikataba ya uwekezaji wa gesi asilia iliyogundulika hapa nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS