Marufuku watumishi kuwa na tenda serikalini
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI George Simbachawene amesema serikali tayari imekataza watumishi wa umma kujiingiza katika kuomba tenda mbalimbali za serikali na hawaruhusiwi na kama mtu anajihusisha na jambo hilo basi anakiuka misingi ya sheria

