Wawezesheni wananchi kuweza kulipia bima Taasisi za kifedha nchini zimetakiwa kubuni mbinu mbadala zitakazo wasaidia watanzania kuwa na kipato cha ziada ili waweze kujiunga na kumudumu kulipia gharama za bima mbalimbali. Read more about Wawezesheni wananchi kuweza kulipia bima