NEC yarudisha chenji kwa Dkt. Magufuli

Rais Dkt. John Magufuli akipokea mfano wa hundi ya shilingi bilioni 2 kutoka kwa Viongozi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imekabidhi shilingi bilioni 12 kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, zilizobaki baada ya uchaguzi mkuu wa Madiwani, Wabunge na Rais uliofanyika tarehe 25 Oktoba, 2015.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS