Mchezaji wa muziki wa Bongo Mose Iyobo na Star wa Filamu Bongo Aunt Ezekiel
Mchezaji maarufu wa muziki wa Bongo Fleva Moses Peter anaetambulika kwa jina la Mose Iyobo anefanya kazi na Staa Diamond Platnumz amefunguka na kudai kuwa ndoa yake na staa wa Bongo muvi Aunt Ezekiel inanukia.