Polisi wanne wauwawa kwa risasi Marekani Maafisa polisi wanne wa Dallas nchini Marekani wamepigwa risasi na kufa na wengine saba kujeruhiwa, wakati wa maandamano ya kupinga vitendo vya polisi kuwapiga risasi na kuwauwa watu weusi. Read more about Polisi wanne wauwawa kwa risasi Marekani