Serikali kuwasilisha bajeti 2016/2017 leo Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo inawasilisha bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2016/2017, ambayo inatarajiwa kuwa ni zaidi ya shilingi trilioni 29. Read more about Serikali kuwasilisha bajeti 2016/2017 leo