Picha hii ya maktaba inawaonyesha wavuvi wakirejea pwani baada ya shughuli ya kuvua samaki.
Matumizi ya samaki duniani yameongezeka zaidi ya kilo 20 kwa mwaka kwa mara ya kwanza, imesema ripoti ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo Duniani, FAO.