Simbachawene awafunda wakuu wa mikoa na wilaya
Waziri wa nchi ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, (TAMISEMI), Mhe. George Simbachawene amewataka wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wapya kuwa kiunganishi kati ya serikali na wananchi ili kumaliza matatizo yiliyopo katika jamii.
