Mkenya kocha mpya timu ya Taifa ya ngumi Tanzania
Kufuatia uhaba wa makocha wenye sifa na kiwango chenye kustahili kusimamia mabondia wakushiriki Olimpiki kamati ya ufundi ya shirikisho la ngumi nchini BFT limefanikiwa kumnasa kocha raia wa Kenya wenye sifa hizo tayari kuiongoza timu kwenye Olimpiki