Mkenya kocha mpya timu ya Taifa ya ngumi Tanzania

Baadhi ya wachezaji wa timu ya taifa ya ngumi wakifanya mazoezi.

Kufuatia uhaba wa makocha wenye sifa na kiwango chenye kustahili kusimamia mabondia wakushiriki Olimpiki kamati ya ufundi ya shirikisho la ngumi nchini BFT limefanikiwa kumnasa kocha raia wa Kenya wenye sifa hizo tayari kuiongoza timu kwenye Olimpiki

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS