Aliekua Mkurugenzi wa Manispaa hiyo ambae sasa anahamia Jiji la Dar es Salaam, Sipora Liana.
Walimu wa shule za msingi zilizopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Tabora, wametakiwa kuwa wabunifu katika ufundishaji ili kuziwezesha shule zao kuwa na maendeleo ya kielimu.