DAREVA yakomaa tarehe yakuendelea ligi ya Wavu Dar

Baadi ya wachezaji wakichuana katika moja ya michuano ya mpira wa wavu.

Baada ya kusimamishwa kwa muda kwa michuano ya ligi ya mpira wa wavu mkoa wa Dar es Salaam ili kupisha baadhi ya vilabu vilivyokuwa na majukumu ya kitaifa sasa michuano hiyo itaendelea kama ilivyotangazwa awali Julai o2 mwaka huu na sivinginevyo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS