Wafanyabiashara nchini wazalishe kiushindani

Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga amewataka wawekezaji na wafanyabiashara nchini Tanzania kuwa wabunifu kwa kutengeneza bidhaa zenye ubora wa kuleta ushindani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS