Sekta binafsi yalia na ukosefu wa nguvukazi

Baadhi ya washiriki wa warsha ya siku moja iliyokuwa inaangalia ukosefu wa nguvu kazi katika uchumi. Katikati ni balozi wa Ufaransa nchini Bi. Malika Berak.

Tanzania inakabiliwa na nguvukazi inayohitajika katika uzalishaji, kutokana na elimu inayotolewa na vyuo mbali mbali nchini, kutoendana na mahitaji halisi ya sekta binafsi na hivyo kuwa moja ya changamoto kuelekea kuwa nchi ya uchumi wa kati.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS