Wanafunzi mnaouza miili acheni tabia hiyo- Samia

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania MMama Samia Suluhu amewataka baadhi ya wanafunzi wa vyuo nchini kuacha tabia ya kuuza miili yao kwani tabia hiyo inadhalilisha wazazi jamii na hawa wanafunzi hao na masomo wanayosoma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS