Kila la kheri Yanga Walgeria lazima wafe tuu

Kikosi cha timu ya soka ya Yanga.

Wanachama, Mashabiki na Wapenzi wa klabu ya Yanga kwa namna tofauti wameendelea kuiombea dua timu hiyo ambayo leo usiku inataraji kushuka dimbani nchini Algeria kucheza mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi ya michuano ya kombe la shirikisho Afrika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS