Kriketi wanaume waanza kambi kujiwinda Afrika

Baadhi ya wachezaji wa Kliketi wakichuana katika moja ya mechi za mchezo huo.

Timu ya Taifa ya mchezo wa Kriketi ya Tanzania inataraji kuingia kambini rasmi hii leo jijini Dar es Salaam tayari kuanza mazoezi ya mawindo kwaajili ya michuano ya kimataifa ya Afrika itakayofanyika mwezi wa Septemban nchini Afrika kusini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS