Kriketi wanaume waanza kambi kujiwinda Afrika
Timu ya Taifa ya mchezo wa Kriketi ya Tanzania inataraji kuingia kambini rasmi hii leo jijini Dar es Salaam tayari kuanza mazoezi ya mawindo kwaajili ya michuano ya kimataifa ya Afrika itakayofanyika mwezi wa Septemban nchini Afrika kusini.